Danieli 2:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Lakini, Danieli akasema na Arioki kwa uangalifu na hekima. Arioki alikuwa ni mukubwa wa waaskari walinzi wa mufalme ambaye alipewa amri ya kuwaua wenye hekima wa Babeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |