Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 2:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao vilevile wakatafutwa kusudi wauawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 2:13
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe hauwezi kushirikiana na waamuzi wapotovu, wanaotunga masharti za kutetea maovu.


Ole kwao wanaotunga sheria za uovu, watu wanaopitisha sheria za kugandamiza.


Basi, Danieli akamwendea Arioki aliyekuwa amechaguliwa kuwaangamiza wenye hekima wa Babeli, akamwambia: Usiwaue wenye hekima wa Babeli, lakini unipeleke mimi mbele ya mufalme, nami nitamweleza maana ya ndoto yake.


Kwa sababu ya ukubwa aliomupa, watu wa makabila yote, mataifa yote na luga zote walitetemeka na kumwogopa. Nebukadneza aliweza kumwua mutu yeyote aliyetaka na kumwacha muzima mutu yeyote aliyetaka. Aliyetaka kumupandisha cheo alimupandisha, aliyetaka kumushusha cheo alimushusha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ