Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 11:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini nyuma, mufalme huyu wa kaskazini ataushambulia ufalme wa kusini, kisha atarudi katika inchi yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 11:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa mufalme wa kaskazini watakusanya kundi kubwa la waaskari na kujitayarisha kwa vita. Kundi hilo litasonga mbele kama mafuriko ya maji litapita na kupigana vita mpaka ndani ya muji wenye kuta wa waadui.


Halafu, mufalme wa kusini, kwa hasira yake, atapigana vita na mufalme wa kaskazini ambaye naye atamushambulia kwa kundi kubwa la waaskari, lakini litashindwa.


Mufalme wa kusini atakuwa mwenye nguvu. Lakini mumoja wa majemadari wake atakuwa na nguvu kuliko yeye na utawala wake utakuwa mukubwa zaidi.


Atabeba sanamu za miungu yao na vyombo vya bei kali vya feza na zahabu mpaka katika inchi ya Misri. Kwa muda wa miaka michache, mufalme wa kusini hatamushambulia mufalme wa kaskazini.


Lile gari linalokokotwa na farasi weusi linakwenda upande wa kaskazini, lile linalokokotwa na farasi weupe linakwenda upande wa magaribi, na lile linalokokotwa na farasi wa kijivujivu linakwenda upande wa kusini.


Watapigana vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo pamoja na waaminifu wake aliowaita na kujichagulia atawashinda, kwa sababu yeye ni Bwana wa wabwana na Mufalme wa wafalme.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ