Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 11:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Atatwaa akiba za zahabu, feza na mawe yote ya bei kali ya inchi ya Misri. Watu wa Libya na watu wa Etiopia watamufuata.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 11:43
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akiwa na magari elfu moja na mia mbili, waaskari wapanda-farasi elfu makumi sita. Alikuwa vilevile na waaskari wengi sana wasioweza kuhesabiwa toka Misri; Walibia, Wasuki na Waetiopia.


Musa akamalizia kwa kumwambia mufalme: “Watumishi wako hawa watanifikia na kuinama mbele yangu kwa heshima, wakinisihi niondoke katika inchi ya Misri, mimi pamoja na watu wote wanaonifuata. Nyuma ya hayo, nitaondoka.” Kisha Musa, akiwa amekasirika, akaondoka kwa mufalme wa Misri.


Kati yao kuna waaskari kutoka Persia, Etiopia na Puti; wote wana ngao na kofia za chuma.


Wakati atakaposhambulia inchi hizo, hata inchi ya Misri haitaponyoka.


Lakini habari kutoka mashariki na kaskazini zitamutisha. Naye atatoka kwa hasira kubwa kusudi aharibu na kuangamiza watu wengi.


Inchi ya Kushi ilikuwa nguvu yake; nayo Misri vilevile, tena bila mwisho, watu wa Puti na Libya waliusaidia.


Baraka akayaita makabila ya Nafutali na Zebuluni kule Kedesi. Watu elfu kumi wakamufuata. Debora akaenda pamoja naye.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ