Danieli 11:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
41 Atashambulia hata inchi ile tukufu na kuua maelfu ya watu. Lakini inchi za Edomu, Moabu na sehemu kubwa ya Amoni, zitaokoka kutoka katika mikono yake.
Mushambulizi atawatendea sawa anavyopenda; hakuna atakeyesubutu kupingana naye. Atasimama katika inchi tukufu, na inchi hiyo yote itakuwa chini ya mamlaka yake.
Zaidi ya hayo, atapiga mahema yake makubwa kati ya bahari na mulima mutukufu na mutakatifu. Lakini atakuwa amefikia ukomo wake, na hakutakuwa mutu yeyote wa kumusaidia.
Na tokea ndani ya moja ya pembe hizo ine, kuliota pembe ingine dogo, ikakomaa sana kuelekea upande wa kusini-mashariki, na kuelekea inchi ile nzuri sana.