Danieli 11:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Hata hivyo, wakati atakapokuwa na nguvu, ufalme wake utavunjika na kugawanyika katika sehemu ine kuelekea pande ine za mbingu. Wazao wake hawatatawala, wala ufalme hautakuwa katika mikono ya urizi aliotawala, kwa sababu ufalme wake utakamatwa na wengine. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |