Danieli 11:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200239 Atazishugulikia kuta za muji wake kwa musaada wa mungu wa kigeni. Wale wanaomutambua kuwa mufalme, atawaongezea heshima kubwa, atawapa vyeo vikubwa na kuwagawanyia inchi kama zawadi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |