Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 11:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Wale wanaokula pamoja naye, ndio watakaomwangamiza. Watamwangamiza na waaskari wake watasambazwa na wengi watauawa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 11:26
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Hazaeli alitoka kwa Elisha, akarudi kwa bwana wake. Mufalme Beni-Hadadi akamwuliza: “Elisha alikuambia nini?” Hazaeli akamujibu: “Aliniambia kwamba hakika utapona.”


Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”


Wana wa mufalme wa kaskazini watakusanya kundi kubwa la waaskari na kujitayarisha kwa vita. Kundi hilo litasonga mbele kama mafuriko ya maji litapita na kupigana vita mpaka ndani ya muji wenye kuta wa waadui.


Makundi ya waaskari pamoja na kuhani wa hekalu wataangamizwa na kuwaua.


Wakati wa mwisho mufalme wa kusini atamushambulia mufalme huyo wa kaskazini. Lakini mufalme wa kaskazini atajibu mashambulio hayo kwa nguvu kama zoruba, akitumia magari ya vita, waaskari wapanda-farasi na mashua nyingi. Atashambulia inchi nyingi na kupita katika inchi hizo kama mafuriko ya maji.


Yesu akajibu: “Yule aliyechovya mukate pamoja nami ndani ya sahani ndiye atanitoa.


Yesu akawajibu: “Ni mumoja kati yenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mukate pamoja nami ndani ya sahani moja.


“Sisemi juu ya ninyi wote; ninawajua wale niliowachagua. Lakini inafaa maneno haya yanayosemwa na Maandiko Matakatifu yatimie: ‘Yule aliyechangia chakula nami, amenigeuka.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ