Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 11:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Na kwa wakati wasiouwazia ataingia katika sehemu za jimbo zenye utajiri mwingi na kufanya mambo ambayo hayakufanyika hata na mumoja wa babu zake waliomutangulia. Kisha, atawagawanyia wafuasi wake mali na vitu alivyonyanganya katika vita. Atafanya mipango ya kuishambulia miji yenye kuta, lakini kwa muda tu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 11:24
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakateka miji yenye kuta, wakatwaa inchi yenye utajiri, nyumba zenye vitu vingi vizuri, visima vilivyochimbwa, mashamba ya mizabibu na mizeituni pamoja na miti yenye matunda kwa wingi. Hivyo wakakula, wakashiba na kunenepa na kufurahia wema wako.


Kwa anayetoa kituliro ni kama hirizi; kila kitu anachofanya yeye anafanikiwa.


Watu wengi wanajipendekeza kwa wakubwa; kila mutu anataka kuwa rafiki wa mutu mwenye kupana.


maana ndani ya moyo wake anahesabu unachokula. Atakuambia: “Kula, kunywa!” Lakini ndani ya moyo wake hayuko pamoja nawe.


Nitawapa malisho mazuri kwenye milima mirefu ya inchi ya Israeli ambako kuna mashamba mazuri ya kuwakulishia. Watapumzika huko kwenye mbuga za malisho mazuri; watapata malisho mazuri juu ya milima ya inchi ya Israeli.


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Siku ile, utaanza kuwaza ndani ya moyo wako na kupanga mipango miovu na kusema:


Kwa kufanya mapatano, atayadanganya mataifa mengine, na ataendelea kupata nguvu ingawa atatawala taifa dogo.


Huyo atasema maneno ya kujivuna mbele ya Mungu Mukubwa na kuwatesa watakatifu wake. Atajaribu kubadilisha sikukuu na sheria zao, na watakatifu watatiwa katika mikono yake kwa muda wa miaka mitatu na nusu.


Muchunguze vilevile kama inchi yenyewe ni tajiri au masikini, ina miti au haina. Mukuwe na mioyo ya ushujaa na munaporudi mulete matunda ya inchi hiyo. Ilikuwa ni wakati zabibu zinapoanza kuivya.


Naye Yesu akijua mafikiri yao, akawauliza: “Sababu gani munawaza maneno hayo mabaya?


Wakamupa vikoroti makumi saba vya feza vilivyokuwa kwenye nyumba ya Bali-Beriti ambavyo alivitumia kwa kulipa watu wakorofi na watu ovyoovyo kusudi wamufuate.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ