13 Kisha, utulinganishe sisi na hao vijana wengine wanaokula chakula cha mufalme, halafu utoe uamuzi wako kulingana na jinsi utakavyoona.
Tafazali utujaribu, sisi watumishi wako kwa muda wa siku kumi kwa kutupatia mboga za majani na maji.
Mulinzi akakubaliana nao, akawajaribu kwa muda wa siku kumi.