Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 1:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Halafu Danieli akamwendea mutumishi aliyewekwa na mukubwa yule kwa kumulinda yeye na wenzake watatu Hanania, Misaeli na Azaria, akamwambia:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 1:11
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini, mukubwa yule akamwambia Danieli: Ninaogopa kwamba bwana wangu mufalme ambaye ametoa maagizo juu ya chakula na kinywaji unavyopaswa kutumia, ataona kwamba afya yako si nzuri kama ya wenzako wa umri wako. Hivyo maisha yangu yatakuwa katika hatari.


Tafazali utujaribu, sisi watumishi wako kwa muda wa siku kumi kwa kutupatia mboga za majani na maji.


Basi, yule mulinzi akawaacha waendelee kula mboga za majani pahali pa chakula na divai walioamuriwa.


Kisha, Danieli akarudi kwa nyumba, akawajulisha wenzake Hanania, Misaeli na Azaria jambo hilo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ