Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Amosi 9:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hata wakijificha juu ya mulima Karmeli, huko nitawatafuta na kuwakamata; hata wakijificha mbali nami katika vilindi vya bahari, mule nitaiamuru nyoka kubwa ya bahari iwaume.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Amosi 9:3
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Magaribi mwanaume na muke wake wakasikia Yawe Mungu akitembea katika bustani, nao wakajificha kati ya miti ya bustani, Yawe Mungu asipate kuwaona.


Wageni walivunjika moyo; wakakuja kutoka makimbilio yao wakitetemeka.


Lakini wewe unasema: “Mungu anajua nini? Anaweza kupenya mawingu na kutoa hukumu?


Hakuna weusi wala giza kubwa ambamo watenda maovu wanaweza kujificha.


Bwana wetu alisema: “Nitawarudisha waadui kutoka Basani; nitawarudisha kutoka shimo la bahari,


Siku hiyo, Yawe atakamata upanga wake mukubwa, mukali na imara, na kuiazibu Leviatani, ile nyoka inayoruka na kuzongazonga. Yawe ataua nyoka mukubwa anayeishi katika bahari.


Nitaita wavuvi wengi kuja kuwanasa watu hawa. Kisha, nitaita wawindaji wengi kuja kuwawinda juu ya kila mulima, kila kilima na katika mapango ya chini ya mawe.


Amosi alisema hivi: Yawe ananguruma toka mulima Sayuni, anavumisha sauti yake toka Yerusalema, hata mashamba ya malisho ya wachungaji yanakauka, majani ya mulima Karmeli yananyauka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ