Amosi 9:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Hata wakijichimbia njia ya kwenda kuzimu, nitawakamata kule kwa mukono wangu; hata wakipanda juu mbinguni, nitawaporomosha chini. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Hayo yameupata kusudi muti wowote unaokuwa pahali penye maji usiweze kurefuka tena kwa kimo hicho wala kukifikisha kilele chake katika mawingu. Muti wowote unaokunyweshwa maji usiweze tena kufikia urefu huo. Kwa maana kila kitu mwisho wake ni kifo; hata na watu vilevile. Wote watashiriki hali ya wanaoshuka katika shimo kwa wafu.