Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Amosi 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Siku hiyo, nitalifanya jua litue pa saa sita za muchana, na kuijaza inchi giza wakati wa muchana. –Ni ujumbe wa Yawe.–

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Amosi 8:9
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wao wanapatwa na giza wakati wa muchana; muchana kati wanapapasapapasa kama vile usiku.


Nyota na vikundi vyake katika anga hazitaangaza; jua linapochomoza litakuwa giza, na mwezi hautatoa mwangaza wake.


Mumutukuze Yawe, Mungu wenu, mbele hajawaletea giza, mbele hamujajikwaa miguu kwenye milima inayofunikwa na giza. Ninyi mulitazamia mwangaza, lakini anaugeuza kuwa usiku anaufanya kuwa giza nzito.


Mama aliyeheshimiwa kwa kuwa na watoto saba, sasa kwa rafla hana kitu. Amezimia na kukata roho, amekufa angali kijana, amefezeheka na kuzarauliwa. Na wale watakaobaki wazima nitawatoa kwa upanga mbele ya waadui zao. –Ni ujumbe wa Yawe.


Nitakapokuangamiza, nitazifunika mbingu, nitazifanya nyota kuwa nyeusi, jua nitalifunika kwa mawingu, na mwezi hautatoa mwangaza wake.


Mungu ndiye aliyeifanya milima, na kuumba upepo; ndiye anayemujulisha mwanadamu mawazo yake; ndiye anayegeuza muchana kuwa usiku, na kukanyaga vilele vya dunia. Yawe wa majeshi ndilo jina lake!


Huyo aliyezifanya nyota zinazoitwa Kilimia na Orioni, ambaye analigeuza giza nene kuwa muchana, na muchana kuwa usiku; yeye anayekusanya maji ya bahari na kuyamwanga juu ya inchi kavu, Yawe ndilo jina lake.


Kwenu manabii kutakuwa usiku bila maono, kutakuwa giza kwenu bila ufunuo. Jua litatua juu yenu, na muchana utakuwa giza kwenu.


Muchana utaendelea bila giza kuingia. Wakati huo unajulikana kwa Yawe peke yake. Hakutakuwa muchana wala usiku, kwa maana hata saa za magaribi mwangaza utaendelea kuwa.


“Mara moja kisha mateso ya siku zile, jua litatiwa giza, mwezi hautaangaza, nyota zitaanguka toka mbinguni na vyote vyenye nguvu katika mbingu vitatikiswa.


Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Ilikuwa karibu na saa sita ya muchana, jua likafifia, kukakuwa giza katika inchi yote mpaka saa tisa. Pazia la hekalu likapasuka katikati.


Kisha nikaona mambo haya: Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa sita, kukakuwa tetemeko kubwa la dunia; jua ikageuka kuwa nyeusi kama nguo ya kilio na mwezi ukageuka kuwa mwekundu kama damu.


Kisha malaika wa ine akapiga baragumu. Sehemu moja ya tatu ya jua ikaharibishwa pamoja na sehemu moja ya tatu ya mwezi na ya nyota. Sehemu zile tatu zikaingiwa na giza. Hivi hakukuwa mwangaza kwa muda wa sehemu moja ya tatu ya saa za muchana na sehemu moja ya tatu ya saa za usiku vilevile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ