Amosi 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa kilio, na nyimbo zenu za furaha kuwa maombolezo. Nitawavalisha ninyi wote magunia kwa huzuni na kunyoa vichwa vyenu upaa, kama kuomboleza kifo cha mutoto wa pekee. Na siku ya mwisho itakuwa ya uchungu mukubwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |