Amosi 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Kule kwenye vilima ambapo wazao wa Isaka wanatambikia, kutafanywa kuwa uharibifu mutupu na mahekalu ya Waisraeli yatakuwa mabomoko. Nitaushambulia kwa vita ukoo wa mufalme Yeroboamu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |