Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Amosi 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kama wakibaki watu kumi katika nyumba moja, wote watakufa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Amosi 6:9
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu akaanza kueleza juu ya utajiri anaokuwa nao, wana anaokuwa nao, jinsi mufalme alivyomupandisha cheo, na jinsi alivyopewa madaraka zaidi kuliko wakubwa wengine wote wa mufalme.


wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedata, adui ya Wayuda. Hata hivyo, hawakunyanganya mali zao.


Mara moja upepo mukali ukavuma kutoka katika jangwa, ukaipiga nyumba ile kila upande nayo ikawaangukia, na vijana wote wamekufa. Ni mimi tu peke yangu nimepona kwa kuja kukuletea habari.”


Yobu alikuwa na wana saba na wabinti watatu.


Mali zake zitanyanganywa katika siku ya kasirani ya Mungu.


Wazao wake wote wakufe; jina lake lisahauliwe katika kizazi kinachokuja!


Mujitayarishe kuwachinja watoto wake kwa sababu ya makosa ya baba zao, wasipate kuamuka na kukamata inchi, na kuijaza dunia yote miji yao.


Sema: Huu ni ujumbe wa Yawe: Maiti za watu zinalala chini kila pahali kama malundo ya mboleo katika mashamba, kama miganda iliyoachwa na muvunaji, wala hakuna anayeikusanya.


Maana Bwana wetu Yawe anasema: Itakuwa hivi: juu yenu ninyi Waisraeli: Watu elfu moja wanatoka katika muji kwenda kupigana lakini watarudia watu mia moja tu; wataondoka watu mia moja wa kijiji kimoja lakini watu kumi tu wataponyoka.


Mutu wako ambaye sitamwangamiza kutoka mazabahu yangu atakuwa ameponyoka kusudi nipofushe macho yake, naye atakufa moyo na wazao wake watauawa kifo kibaya.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ