Basi, kukasikilika sauti za kundi la watu wasiojali kitu, kundi la wanaume walevi walioletwa kutoka katika jangwa. Waliwavalisha hao wanawake vikomo kwa mikono yao na taji nzuri juu ya vichwa vyao.
Mutangaze katika nyumba nzuri kule Asidodi, na katika nyumba nzuri za inchi ya Misri: Mukusanyike kwenye milima inayoizunguka inchi ya Samaria, mujionee fujo kubwa na mateso yanayofanyika kule.
Maana mimi ninajua wingi wa makosa yenu na ukubwa wa zambi zenu; ninyi munawatesa watu wema, munapokea kituliro na kuzuia wakosefu wasipate haki katika tribinali.
Farasi wanaweza kukimbia katika mawe makubwa? Watu wanaweza kulima bahari na ngombe? Lakini ninyi mumeigeuza sheria kuwa sumu, na tunda la haki kuwa uchungu.
Watu watakapokuwa wakisema: “Kuna amani na usalama”, ndio wakati uharibifu utakapowapata kwa rafla kama vile maumivu ya kuzaa yanavyomupata mwanamuke mwenye mimba, wala hawataweza kuponyoka.
na kusema: “Aliahidi kwamba atakuja! Sasa yeye yuko wapi? Kwa maana, tangia kufa kwa babu zetu mambo yote yanaendelea kubakia sawa vile yalivyokuwa tangu kuumbwa kwa dunia.”
Kwa muda wa saa moja tu utajiri mwingi kama huu umeharibishwa.” Waongozi wote wa mashua na wasafiri wao, nao wote wanaofanya kazi ndani ya mashua na wote wanaochuuza kwa njia ya bahari walisimama kwa mbali.