Amosi 5:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Ninyi munawagandamiza wazaifu na kuwalipisha kodi ya ngano. Munajijengea nyumba za mawe ya kuchongwa, lakini ninyi hamutaishi humo; munalima bustani nzuri za mizabibu, lakini hamutakunywa divai yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |