Amosi 4:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Mungu ndiye aliyeifanya milima, na kuumba upepo; ndiye anayemujulisha mwanadamu mawazo yake; ndiye anayegeuza muchana kuwa usiku, na kukanyaga vilele vya dunia. Yawe wa majeshi ndilo jina lake! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |