Amosi 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Musikilize neno hili, enyi wanawake munaokuwa kama ngombe wa Basani munaokuwa kule juu ya mulima wa Samaria. Ninyi munaowaonea wamasikini, munaowagandamiza wakosefu, na kuwaambia waume zenu: Mutuletee divai tukunywe! Musikilize ujumbe huu: အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |