Amosi 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Yawe anasema hivi: Kwa sababu ya makosa matatu ya Waisraeli, hata kwa mane, sitageuza nia yangu. Wameuzisha watu wa haki kuwa watumwa kwa maana hawakuweza kulipa madeni yao; na kuwauzisha wakosefu wanaoshindwa kulipa deni la muguu mumoja wa mapapa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |