Amosi 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Nitaondoa wakaaji wa muji wa Asidodi, pamoja na mutawala wa Asikeloni. Nitanyoosha mukono wangu kwa kuazibu muji wa Ekuroni, na Wafilistini wote waliobaki wataangamia. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |