Amosi 1:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Nitavivunjavunja vifungio vya milango ya muji wa Damasiki, na kuwaondoa wakaaji wa bonde la Aweni, pamoja na mutawala wa Beti-Edeni. Waaramu wanapelekwa katika uhamisho kule Kiri. –Ni Yawe anayesema hivyo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |