Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Yoane 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Basi, mujiangalie wenyewe, kusudi musipoteze matunda ya kazi yenu, lakini mupokee zawadi kamili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Yoane 1:8
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wale wenye hekima watangaa kama vile anga linavyongaa, na wale waliowaongoza wengine kutenda mema, watangaa kama nyota milele.


Yesu akawajibu: “Muangalie vizuri, mutu asiwadanganye.


Lakini ninyi mujiangalie vizuri, kwa maana nimewaambia hayo yote mbele.


“Mujiangalie vizuri ninyi wenyewe, kwa maana watawapeleka mbele ya tribinali kwa kuwahukumu na kuwapiga fimbo katika nyumba za kuabudia. Vilevile mutapelekwa mbele ya wakubwa na wafalme kwa ajili yangu, kusudi mutoe ushuhuda wangu mbele yao.


Naye akamwambia: ‘Nawe vilevile ninakupa utawala juu ya miji mitano.’


Yesu akawajibu: “Muangalie vizuri, musidanganywe. Watu wengi watakuja wakijiita kwa jina langu, wakisema kwamba wao ndio Kristo, nao wakati umetimia. Ingawa vile, musiwafuate.


Muvunaji anakwisha kupokea mushahara, naye anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele, kusudi mupandaji na muvunaji wafurahi pamoja.


Na kwa mwisho wa wote akanitokea mimi vilevile, mimi ninayekuwa kama mutoto aliyezaliwa pasipo kutimiza miezi.


Na ikiwa kile mutu alichojenga juu ya musingi huu hakiungui na moto, mutu yule atapokea zawadi.


Yule anayepanda na yule anayenyweshea maji wote ni sawa; naye Mungu atamupa kila mutu mushahara wake kufuatana na kazi aliyofanya.


Mambo yote yaliyowatokea ninyi, yalikuwa ya bure? Hakika hayakukuwa ya bure.


Ninawaogopea, kwa maana inawezekana kwamba nimesumbuka bure kwa ajili yenu!


Ingawa hayo yote, basi tuendelee mbele tokea kwenye hatua ile tumekwisha kufikia.


Mukumbuke mambo yaliyowatokea katika siku zilizopita. Ninyi mulipokwisha kuangaziwa na Mungu, mulipita katika mateso mengi lakini mulivumilia.


Basi musikate tumaini, kwa maana litawaletea zawadi kubwa.


Muangalie vizuri, kusudi hata mutu mumoja asijikoseshe mwenyewe kupata neema ya Mungu, wala asikuwe sawa shina la mumea unaotoa matunda machungu na kuleta fujo kati yenu na kuambukiza watu wengi.


Ninakuja upesi. Shika sana kile unachokuwa nacho, kusudi mutu yeyote asinyanganye taji yako ya ushindi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ