Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wakorinto 9:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kama vile inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Ametoa kwa uwingi, amewapa wamasikini. Haki yake inadumu milele.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wakorinto 9:9
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ndani ya nyumba yake kutakuwa mali nyingi; haki yake utadumu milele.


Anatoa kwa moyo safi, anawapa wamasikini. Haki yake inadumu milele. Ana nguvu na sifa.


Anayetafuta haki na wema atapata uzima, haki, na heshima.


Utajiri na heshima viko kwangu, mali ya kudumu na fanaka.


Maana watakuliwa na nondo kama vile nguo; vidudu watawakula kama wanavyokula nguo ya manyoya ya kondoo. Lakini ukombozi ninaouleta mimi utadumu milele; wokovu wangu hautakuwa na mwisho.


Basi sasa, hivi vitu vitatu vinadumu: imani, tumaini na upendo; lakini kinachokuwa kikubwa kuliko hivi vingine ni upendo.


Mungu ndiye anayemupatia mupandaji mbegu na mukate wa kukula. Kwa hiyo atawapatia ninyi mbegu yoyote munayohitaji na kuiotesha, kusudi moyo wenu wa kutoa upate kuzaa matunda mengi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ