2 Wakorinto 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Nasi hatukufarijiwa kwa kuja kwake tu, lakini vilevile kwa namna ile mulivyomufariji. Tito ametuelezea jinsi munavyokuwa na hamu kubwa ya kuniona, jinsi munavyohuzunika na jinsi munavyojitoa kwa ajili yangu. Kwa hivi sasa ninafurahi zaidi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |