2 Wakorinto 7:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Basi, huzuni inayosababishwa na Mungu inamuwezesha mutu kugeuka toka katika zambi. Na kugeuka kule, kunamuletea kuokoka. Kule kuokoka hakuleti majuto. Lakini huzuni inayosababishwa na mwanadamu inaleta kifo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |