2 Wakorinto 5:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Kwa hiyo basi, tangu sasa hatumuhesabu tena mutu yeyote kufuatana na hali ya kimutu. Hata ikiwa tulimuhesabu Kristo kufuatana na hali ya kimutu, kwa sasa hatumuhesabu tena kufuatana na hali ile. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |