2 Wakorinto 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Wao hawaamini kwa sababu yule mungu wa dunia hii amefunika akili zao. Yeye anawazuiza wasione mwangaza unaoletwa na Habari Njema ya utukufu wa Kristo, anayefanana na Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |