2 Wakorinto 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Tumekataa mambo ya kisirisiri na ya haya. Hatuna mwenendo wa udanganyifu wala hatupotowi neno la Mungu. Lakini tunajulisha waziwazi ukweli kusudi tuvute kila mutu kutuaminia katika zamiri yake mbele ya Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |