2 Wakorinto 3:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kwa maana Mungu ndiye aliyetuwezesha kuwa watumishi wa agano jipya, lisilotokana na Sheria iliyoandikwa, lakini na Roho. Sheria iliyoandikwa inaleta kifo lakini Roho analeta uzima. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |