Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wakorinto 3:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Lakini “Wakati mutu anapomurudilia Bwana, kitambaa kile kinaondolewa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wakorinto 3:16
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini ikakuwa kwamba kila mara Musa alipokwenda kuongea na Yawe katika hema la mukutano, aliondoa kile kitambaa mpaka alipotoka inje. Na alipotoka inje aliwaambia Waisraeli mambo yote aliyoamuriwa,


Katika mulima huuhuu, Yawe ataliondoa wingu la huzuni lililowafunika watu wote, kifuniko cha uchungu juu ya mataifa yote.


Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


Watu wako watafundishwa nami Yawe, wana wako watapata ustawi mwingi.


Wala hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake, na kila mutu na ndugu yake na kusema “Mumujue Yawe”, kwa sababu wote, wadogo kama vile wakubwa, watanijua mimi Mungu. Maana nitawasamehe makosa yao, wala sitazikumbuka tena zambi zao.


Tupime na kuchunguza mwenendo wetu tupate kumurudilia Yawe.


Na kama Wayuda wasipoendelea kukataa kuamini, watapandikizwa kwenye nafasi ile walipokuwa mbele, kwa maana Mungu yuko na uwezo wa kuwapandikiza tena.


Mpaka sasa, kila mara wanaposoma katika vitabu vya Musa, kitambaa kinafunika akili yao.


ikiwa mutatii sauti yake na kushika amri na masharti yake yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha sheria na kumurudilia Yawe, Mungu wenu, kwa moyo wote na roho yote.


Mambo haya yote yatakapowapata huko, kisha mukipata taabu, mutamurudilia Yawe na kumutii.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ