Lakini ikakuwa kwamba kila mara Musa alipokwenda kuongea na Yawe katika hema la mukutano, aliondoa kile kitambaa mpaka alipotoka inje. Na alipotoka inje aliwaambia Waisraeli mambo yote aliyoamuriwa,
Wala hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake, na kila mutu na ndugu yake na kusema “Mumujue Yawe”, kwa sababu wote, wadogo kama vile wakubwa, watanijua mimi Mungu. Maana nitawasamehe makosa yao, wala sitazikumbuka tena zambi zao.
ikiwa mutatii sauti yake na kushika amri na masharti yake yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha sheria na kumurudilia Yawe, Mungu wenu, kwa moyo wote na roho yote.