Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wakorinto 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi sasa ni afazali kumusamehe na kumufariji, na kuepuka asikate kitumaini kwa sababu ya huzuni kubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wakorinto 2:7
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

hakika tungalimezwa tukikuwa wazima, wakati hasira yao ilipowaka juu yetu.


Mukono wako, ewe mufalme, utawakamata waadui zako wote; mukono wako wa nguvu utawakamata wanaokuchukia.


Ninamulilia Mungu Mukubwa, Mungu anayenikamilishia nia yake.


Tutawameza wakiwa wazima kama kuzimu, watakuwa kama wale wanaoshuka katika shimo.


Moyo wenye furaha ni dawa, lakini moyo wenye huzuni unakondesha mwili.


Lakini kuna wengine waliolewa divai na kuyumbayumba kwa sababu ya pombe kali; makuhani na manabii wamelewa pombe kali, wamevurugika kwa divai. Wanayumbayumba kwa pombe kali; maono yao yamepotoka, wanajikwaa katika kutoa hukumu.


Na wakati mwili huu wa kuharibika utakapovaa ule wa kutoharibika, nao mwili wa kufa utakapovaa ule wa kutokufa, halafu Maandiko Matakatifu haya yatatimia: “Kifo kimekomeshwa; kimeshindwa kabisa.”


Kwa hiyo ninawasihi ninyi kuhakikisha upendo wenu kwa mutu yule.


Hakika kwa wakati wowote tungali tunaishi katika makao haya ya dunia, tunaugua kwa kulemewa. Si kwa sababu tunataka kuondolewa mwili wa dunia, lakini tunataka kuvaa mwili wa mbinguni, kusudi uzima wa milele upate kubadilisha miili yetu inayokuwa ya kufa.


Basi, huzuni inayosababishwa na Mungu inamuwezesha mutu kugeuka toka katika zambi. Na kugeuka kule, kunamuletea kuokoka. Kule kuokoka hakuleti majuto. Lakini huzuni inayosababishwa na mwanadamu inaleta kifo.


Lakini mutendeane wema ninyi kwa ninyi; musameheane kama Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.


Alikuwa mugonjwa karibu kufa, lakini Mungu akamuhurumia, na si yeye peke yake, lakini mimi vilevile kusudi nisikuwe na huzuni juu ya ingine.


Muvumiliane na kusameheana ninyi kwa ninyi wakati wowote mutu anapokuwa na neno la kumushitaki mwingine. Munapaswa kusameheana kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.


Wandugu, hatutaki mukose kujua habari zinazowaelekea wale waliokufa, kusudi musikuwe na huzuni sawa vile watu wasiokuwa na tumaini la kufufuka.


Wandugu, tunawaagiza katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba mujitenge na wandugu wote wanaokuwa wavivu na wasiofuata mafundisho tuliyowapa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ