12 Musalimiane kwa upendo wa kikristo. Watu wote wa Mungu wanawasalimia.
Na kama mukiwasalimia wandugu zenu tu, munatenda tendo gani la kupita wengine? Hata wapagani wanatendeana vile!
Musalimiane kwa upendo wa kikristo. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimia.
Wandugu wote wanaokuwa hapa wanawasalimia. Na ninyi vilevile musalimiane kwa upendo wa kikristo.
Musalimiane kwa upendo wa kikristo.
Musalimiane kwa upendo wa kindugu. Ninawatakia amani ninyi watu wote wa Kristo.