2 Wakorinto 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Katika Paradizo, mutu yule akasikia mambo ya ajabu na yasiyoruhusiwa kwa mwanadamu kuyaeleza. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Basi, akanyoosha kitu kinachokuwa kama vile mukono, akanikamatia kwa nywele zangu. Roho wa Mungu akaninyanyua kati ya dunia na mbingu, akanipeleka mpaka Yerusalema nikiwa katika maono hayo ya Mungu. Nikafika kwenye kiingilio cha mulango wa baraza ya ndani inayoelekea upande wa kaskazini, pahali palipowekwa sanamu iliyomuletea Mungu wivu.