2 Wakorinto 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Kwa kweli hatungesubutu kujifananisha au kujilinganisha na watu wale wanaojisifu wenyewe. Wao ni wapumbafu. Wanajipima kufuatana na kipimo chao wenyewe na kujilinganisha na wao wenyewe. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |