2 Wakorinto 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kama sisi tunapata taabu ni kusudi mupate kufarijiwa na kuokolewa. Kama tunafarijiwa ninyi vilevile munafarijiwa na kupata nguvu ya kuwawezesha kuvumilia taabu ile ile tunayopata. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |