Mara tu alipoanza kutawala, Basha akawaua watu wote wa jamaa ya Yeroboamu; hakuacha muzima hata mutu mumoja wa jamaa ya Yeroboamu. Hiyo ilikuwa sawa na yale Yawe aliyosema kwa njia ya mutumishi wake Ahiya wa Shilo.
Jamaa yako nitaifanya kama jamaa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama jamaa ya Basha mwana wa Ahiya, kwa sababu umeiwasha hasira yangu na kuwasukuma watu wa Israeli watende zambi.’