Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 9:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Alipofika, aliwakuta wakubwa wa waaskari katika mukutano. Akasema: “Nina ujumbe wako, mukubwa.” Yehu akamwuliza: “Ni nani kati yetu unayemwambia?” Akamujibu: “Wewe, mukubwa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 9:5
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Utakapofika kule, umutafute Yehu mwana wa Yosafati, mujukuu wa Nimusi. Umupeleke pembeni ndani ya chumba mbali na wenzake,


Basi, nabii huyo kijana akaenda Ramoti-Gileadi.


Halafu wote wawili wakaingia ndani ya chumba cha ndani na kule nabii akamutia Yehu mafuta juu ya kichwa na kumwambia: “Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Ninakupakaa mafuta ukuwe mufalme juu ya watu wangu Israeli.


Lakini yeye alipofika kwenye sanamu za mawe yaliyochongwa karibu na Gilgali, akamurudilia Mwana-Ngombe akasema: “Nina ujumbe wa siri kwako, ee mufalme.” Mufalme akawaamuru watumishi wakae kimya, nao wakatoka inje.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ