4 Basi, nabii huyo kijana akaenda Ramoti-Gileadi.
Wakati uleule nabii Elisha alimwita mumoja wa wanafunzi wa nabii, akamwambia: “Ujitayarishe kusafiri, twaa chupa hii ya mafuta, na kwenda Ramoti katika Gileadi.
Alipofika, aliwakuta wakubwa wa waaskari katika mukutano. Akasema: “Nina ujumbe wako, mukubwa.” Yehu akamwuliza: “Ni nani kati yetu unayemwambia?” Akamujibu: “Wewe, mukubwa.”