Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 9:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Utakapofika kule, umutafute Yehu mwana wa Yosafati, mujukuu wa Nimusi. Umupeleke pembeni ndani ya chumba mbali na wenzake,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 9:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Waliobaki, walikimbilia katika muji wa Afeki. Kule, kuta za muji ziliwaangukia na kuwaua watu elfu makumi mbili na saba waliobakia. Beni-Hadadi vilevile alikimbia na kujificha katika chumba fulani cha ndani, katika muji.


Mikaya akamujibu: “Siku utakapoingia katika chumba cha ndani kwa kujificha, ndipo utakapojua.”


Yehu aliporudi kwa wenzake, mumoja wao alimwuliza: “Kuna shida yoyote? Mwenda-wazimu huyu alitaka nini kwako?” Yehu akawajibu: “Si munamujua yeye na namna yake ya kusema?”


Yehu mwana wa Yosafati, ambaye vilevile alikuwa mujukuu wa Nimusi, alifanya mupango wa kuasi Yoramu. Yoramu na watu wote wa Israeli walikuwa Ramoti-Gileadi kwa kulinda zamu juu ya mufalme Hazaeli wa Aramu.


Kwa mara ingine tena mulinzi akasema: “Mujumbe amewafikia lakini harudi.” Halafu akaongeza: “Uendeshaji wa gari ni kama wa Yehu mwana wa Nimusi, kwa sababu yeye anaendesha mbiombio.”


Alipofika, aliwakuta wakubwa wa waaskari katika mukutano. Akasema: “Nina ujumbe wako, mukubwa.” Yehu akamwuliza: “Ni nani kati yetu unayemwambia?” Akamujibu: “Wewe, mukubwa.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ