2 Wafalme 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Hazaeli akapakia zawadi za kila aina ya mazao ya Damasiki kipimo cha mizigo ya ngamia makumi ine na kumupelekea Elisha. Alipofika kwa Elisha alimwambia: “Mutumishi wako, Beni-Hadadi, mufalme wa Aramu amenituma kwako. Yeye anauliza: ‘Nitapona ugonjwa huu?’ ” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |