2 Wafalme 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Lakini wakaambiana: “Tunalofanya si sawa! Hii ni habari njema tunayokuwa nayo leo, na ikiwa tutangoja mpaka asubui, bila shaka tutaazibiwa. Tuende mara moja tuwaambie watu wa nyumba ya mufalme!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |