2 Wafalme 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Wale watu wane wenye ukoma walipofika pembeni ya kambi, waliingia ndani ya hema moja, wakakula na kunywa vile walivyopata mule, wakatwaa feza, zahabu na nguo, wakaenda kuzificha. Wakaingia katika hema ingine na kufanya vivyo hivyo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |