2 Wafalme 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
7 Basi, katika usiku ule, Waaramu walikimbia wote kwa kuyaokoa maisha yao wakiacha mahema yao, farasi na punda wao, na hata kambi yao jinsi ilivyokuwa.
Gari moja liliweza kununuliwa kule Misri kwa feza inayopita kilo saba, na farasi mumoja aliweza kununuliwa kwa feza kilo mbili. Wachuuzi wa mufalme walisafirisha magari na farasi hao na kuwauzishia wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.
Kila mumoja wao akamwua adui mumoja. Watu wa Aramu wakakimbia, nao waaskari wa Israeli wakawafuatilia. Lakini Beni-Hadadi mufalme wa Aramu akapanda juu ya farasi, akatoroka na sehemu ya waaskari wapanda-farasi.
Basi kuna mambo mawili, ahadi na kiapo, yasiyoweza kubadilika, na kuelekea hayo, Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hivi, sisi tuliomukimbilia tunatiwa moyo sana na kushika kwa nguvu tumaini tulilowekewa.
Kulikuwa hofu kubwa katika kambi ya Wafilistini. Wote walianza kufazaika: waaskari katika kambi, watu katika mashamba kwenye kambi, hata na washambulizi. Inchi ilitetemeka. Hofu ilikuwa kubwa sana.