Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi, katika usiku ule, Waaramu walikimbia wote kwa kuyaokoa maisha yao wakiacha mahema yao, farasi na punda wao, na hata kambi yao jinsi ilivyokuwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 7:7
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Gari moja liliweza kununuliwa kule Misri kwa feza inayopita kilo saba, na farasi mumoja aliweza kununuliwa kwa feza kilo mbili. Wachuuzi wa mufalme walisafirisha magari na farasi hao na kuwauzishia wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.


Kila mumoja wao akamwua adui mumoja. Watu wa Aramu wakakimbia, nao waaskari wa Israeli wakawafuatilia. Lakini Beni-Hadadi mufalme wa Aramu akapanda juu ya farasi, akatoroka na sehemu ya waaskari wapanda-farasi.


Hofu kubwa inamutisha kila upande, inamufuata katika kila hatua yake.


Farasi wa vita hafai kitu kwa kupata ushindi; nguvu zake nyingi haziwezi kumwokoa mutu.


Bwana alitoa amri, nao wanawake wengi wakatangaza habari:


Moyo wa mufalme ni kama maji yanayotiririka; Yawe anauongoza popote anapopenda.


Waovu wanakimbia ijapokuwa hawafukuzwi na mutu, lakini wenye haki ni hodari kama simba.


Ujiokoe kwa kujitoa katika mutego ule, ujiponyeshe kama vile paa au ndege anayemutoroka mwindaji.


Siku hiyo, watu watawatupia panya na popo sanamu za feza na zahabu walizojitengenezea kusudi waziabudu.


Basi kuna mambo mawili, ahadi na kiapo, yasiyoweza kubadilika, na kuelekea hayo, Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hivi, sisi tuliomukimbilia tunatiwa moyo sana na kushika kwa nguvu tumaini tulilowekewa.


Wakasimama kila mumoja kwa nafasi yake kuizunguka kambi. Jeshi lote la waadui likatawanyika nalo likilalamika.


Kulikuwa hofu kubwa katika kambi ya Wafilistini. Wote walianza kufazaika: waaskari katika kambi, watu katika mashamba kwenye kambi, hata na washambulizi. Inchi ilitetemeka. Hofu ilikuwa kubwa sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ