2 Wafalme 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Maana Yawe alikuwa amewasikilizisha waaskari wa Waaramu sauti kama ya kundi kubwa lililokuwa na magari na farasi. Waaramu wakazani kwamba mufalme wa Israeli amelipa waaskari wa Wahiti na Wamisri kuja kuwashambulia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |