2 Wafalme 7:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Jemedari mulinzi wa mufalme akamwambia Elisha: “Hata kama Yawe mwenyewe angefanya madirisha mbinguni, jambo hilo litawezekana?” Elisha akamujibu: “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hautakula.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |