Mumoja wao alipokuwa anakata miti, shoka lake likachomoka na kuanguka ndani ya maji. Akalia, akisema: “Sasa bwana wangu nitafanya nini? Shoka hili tulikuwa tumeliazima!”
kwa mufano, mutu anayekwenda na mwenzake katika pori kukata kuni naye wakati anakata muti, shoka likachomoka kutoka kwenye mupini wake, na kumwua yule mwingine, mutu huyo anaweza kukimbilia kwenye muji mumoja, kwa kuokoa maisha yake.