3 Mumoja wao akamwomba akisema: “Tafazali ninakusihi uende pamoja na watumishi wako.” Naye akajibu: “Nitakwenda.”
Mwanamuke akamwambia Elisha: “Kama vile Yawe anavyoishi na kama vile unavyoishi, sitakuacha.” Basi Elisha akaondoka na kufuatana naye.
Namani akasema: “Tafazali twaa vikoroti elfu sita vya feza.” Akamusihi, kisha akamufungia mafungu mawili na kumupa nguo mbili ya sikukuu, akawapa watumishi wake wawili na kuwaagiza wafuatane na Gehazi.
Uturuhusu tuende Yordani tukate kila mutu muti mumoja kusudi tujijengee pahali pa kututoshelea.” Elisha akawajibu: “Mwende.”
Hivyo akaenda pamoja nao, na walipofika kwenye muto Yordani wakaanza kukata miti.
Lakini sasa muniangalie tafazali. Mimi sitasema uongo mbele yenu.
Musa akasema: Kama wewe peke yako hautakwenda pamoja nami, basi, usituondoe pahali hapa.
Basi hao watu wawili wakaikaa, wakakula na kunywa pamoja. Kisha baba mukwe akamwambia: “Tafazali, ulale hapa usiku huu na kufurahi.”
Baraka akamwambia Debora: “Kama utakwenda pamoja nami, nitakwenda. Lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”